Jeshi la polisi la Kenya lakanusha kuhusika na utekaji wa wakosoaji wa serikali

Inspekta Jenerali wa Polisi wa Kenya Douglas Kanja, akiwa pamoja na viongozi wenzake

Jeshi la polisi Kenya limekanusha kuhusika na visa vya karibuni vya utekaji unaowalenga wakosoaji wa serikali. Watu 74 walitekwa tangu maandamano ya kuipinga serikali, huku 26 wakiwa bado hawajulikani waliko.


Vikosi vya usalama Kenya vimetuhumiwa na mashirika kadhaa ya haki za binaadamu kwa kuwateka na kuwaweka kizuizini kinyume cha sheria watu kadhaa tangu maandamano makubwa ya kuipinga serikali ya Juni na Julai mwaka huu.

Mkuu wa polisi nchini Kenya Douglas Kanja, amesema katika taarifa kuwa jeshi la polisi limeshtushwa na madai yanayoendelea kwamba maafisa wa polisi, wanahusika na utekaji wa watu nchini humo.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service